Singida BS yaifumua Dodoma Jiji 5-0. hat-trik ya kwanza yafungwa na Mossi

Joel JJ By Joel JJ β€’ 17th June 2026


Singida BS yaifumua Dodoma Jiji 5-0. hat-trik ya kwanza yafungwa na Mossi

Mshambuliaji wa Singida Black Stars, Ndumumwe Mosi, ameandika historia ya kuwa mchezaji wa kwanza kufunga hat-trick katika msimu huu wa Ligi Kuu Tanzania Bara (NBC Premier League) baada ya kuiongoza timu yake kuibugiza Dodoma Jiji mabao 5-0.

Katika mchezo huo uliochezwa leo Jumatano Juni 17, 2026 kwenye Uwanja wa Airtel mkoani Singida, Mosi alikuwa mwiba mkali kwa safu ya ulinzi ya Dodoma..... download Xtra 90 App


  


More Stories

Coastal Union yatangaza rasmi Coastal Union Festival 2026
Coastal Union yatangaza rasmi Coastal Union Festival 2026
Today, READ MORE β†’
Yanga yamtambulisha namba 6 ni Fred Ngoma
Yanga yamtambulisha namba 6 ni Fred Ngoma
Today, READ MORE β†’
Danny Welbeck Atua Chelsea FC Rasmi, Asaini Mkataba wa Miaka Miwili
Danny Welbeck Atua Chelsea FC Rasmi, Asaini Mkataba wa Miaka Miwili
Today, READ MORE β†’
Simba yatambulisha jezi mpya 2026/27
Simba yatambulisha jezi mpya 2026/27
Today, READ MORE β†’
Simba yaichapa Singida lakini timu zote zaaga mashindano
Simba yaichapa Singida lakini timu zote zaaga mashindano
Yesterday, READ MORE β†’
Polisi Tanzania yanasa wino wa Beno Kakolanya msimu ujao
Polisi Tanzania yanasa wino wa Beno Kakolanya msimu ujao
Yesterday, READ MORE β†’
TFF yatoa onyo kwa klabu zisizofanya usajili FIFA Connect
TFF yatoa onyo kwa klabu zisizofanya usajili FIFA Connect
Yesterday, READ MORE β†’
Yanga Yaifunga Magereza Dar Es Salaam 7-2 Mechi ya Kirafiki
Yanga Yaifunga Magereza Dar Es Salaam 7-2 Mechi ya Kirafiki
Yesterday, READ MORE β†’
Fei Toto ajumuishwa kikosi cha Azam Fc pre-season Rwanda
Fei Toto ajumuishwa kikosi cha Azam Fc pre-season Rwanda
Yesterday, READ MORE β†’
Ngao ya Jamii 2026 Kupigwa Amaan Complex Zanzibar
Ngao ya Jamii 2026 Kupigwa Amaan Complex Zanzibar
Yesterday, READ MORE β†’