Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) katika kikao chake cha Juni 16, 2026 ilipitia mwenendo na matukio mbalimbali ya Ligi na kufanya maamuzi yafuatazo;
Ligi Kuu ya NBC
Mechi Namba 203: Mbeya City FC 1-0 Mtibwa Sugar





