Timu ya Taifa ya Canada imepata pigo kubwa baada ya kiungo wake nyota, Ismael Koné (24), kupata majeraha mabaya yatakayomuweka nje ya uwanja kwa takribani miezi sita.
Koné alipata majeraha hayo baada ya kuchezewa rafu mbaya na kiungo wa Qatar, Assim Madibo, katika mchezo wa Kombe la Dunia uliochezwa usiku wa kuamkia leo.
Kwa mujibu wa taarifa za awali kutoka kwa madaktari wa timu,..... download Xtra 90 App



