Hatua ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB imewadia huku timu nne zikisaka nafasi ya kutinga fainali ya mashindano hayo.
Pambano la kwanza litapigwa Jumamosi katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Arusha, ambapo Simba SC itavaana na Coastal Union kuwania tiketi ya kwenda fainali.
Macho ya wengi yataelekezwa jijini Mwanza Jumapili katika Uwanja wa CCM Kirumba, ambapo Azam FC..... download Xtra 90 App



