Liverpool FC inaendelea kuonyesha nia ya dhati kumsajili nyota chipukizi wa RB Leipzig RB Leipzig, Yan Diomande, baada ya ofa yao ya awali ya takribani €100 milioni kukataliwa na klabu hiyo ya Ujerumani.
Kwa mujibu wa taarifa, Liverpool sasa inajiandaa kuwasilisha ofaa mpya iliyoboreshwa ili kuvunja pingamizi la Leipzig na kuingia hatua ya juu ya mazungumzo.





