Wakati mataifa mengine yanapambana kutafuta ushindi ndani ya uwanja wa Kombe la Dunia 2026, Iran imejikuta ikicheza mechi mbili kwa wakati mmoja β moja uwanjani na nyingine nje ya uwanja. Team Melli wameingia kwenye mashindano haya wakikabiliwa na changamoto za visa, masharti magumu ya usafiri na mazingira ya kisiasa ambayo yameifanya safari yao kuwa tofauti na ya timu nyingine nyingi..... download Xtra 90 App



