Arusha yazidi kunoga, uwanja wa AFCON 2027 wachukua sura mpya

Jairo Mtitu By Jairo Mtitu β€’ 22nd June 2026


Arusha yazidi kunoga, uwanja wa AFCON 2027 wachukua sura mpya

Maandalizi ya michuano ya AFCON 2027 yanaendelea kushika kasi jijini Arusha huku ujenzi wa uwanja mpya wa kisasa ukiendelea kunoga siku hadi siku.

Muonekano wa uwanja huo unaonyesha hatua kubwa ya maendeleo, jambo linaloibua matumaini makubwa kwa Watanzania kuelekea mashindano hayo ya kihistoria Serikali kwa kushirikiana na wakandarasi imeendelea kusisitiza kuwa mradi huo unaenda sambamba na ratiba iliyopangwa, huku kazi mbalimbali za miundombinu ikiwemo maeneo ya watazamaji, vyumba vya wachezaji na huduma nyingine muhimu zikiendelea kutekelezwa kwa kasi.

Uwanja huo unatarajiwa kuwa miongoni mwa viwanja bora vitakavyotumika katika AFCON 2027, mashindano ambayo Tanzania itakuwa mwenyeji kwa pamoja na nchi jirani za Kenya na Uganda. Kukamilika kwa mradi huu kunatarajiwa kuimarisha sekta ya michezo, kukuza utalii na kuacha alama ya kudumu katika maendeleo ya miundombinu ya michezo nchini.


  

More Stories

Je, fainali ya Kombe la Shirikisho itarejea Dar es salaam?
Je, fainali ya Kombe la Shirikisho itarejea Dar es salaam?
Today, READ MORE β†’
Serengeti Boys Warejea Mzigoni
Serengeti Boys Warejea Mzigoni
Today, READ MORE β†’
Arusha yazidi kunoga, uwanja wa AFCON 2027 wachukua sura mpya
Arusha yazidi kunoga, uwanja wa AFCON 2027 wachukua sura mpya
Today, READ MORE β†’
IRAN : Taifa Linalopigana Ndani Na Nje Ya Uwanja
IRAN : Taifa Linalopigana Ndani Na Nje Ya Uwanja
Today, READ MORE β†’
Yanga Watafuta Majibu Ya Azam Zanzibar
Yanga Watafuta Majibu Ya Azam Zanzibar
Today, READ MORE β†’
Yanga sasa wana jukumu moja tu: Kulinda alama mbili Ligi Kuu
Yanga sasa wana jukumu moja tu: Kulinda alama mbili Ligi Kuu
Today, READ MORE β†’
Argentina na Austria kukutana kwa mara ya kwanza kihistoria kwenye mechi ya kimashindano
Argentina na Austria kukutana kwa mara ya kwanza kihistoria kwenye mechi ya kimashindano
Today, READ MORE β†’
Misri yaitandika New Zealand 3-1 yakaribia kufuzu 32 bora
Misri yaitandika New Zealand 3-1 yakaribia kufuzu 32 bora
Today, READ MORE β†’
Cape Verde yaikomalia Uruguay yapata sare ya pili
Cape Verde yaikomalia Uruguay yapata sare ya pili
Today, READ MORE β†’
Azam Fc hiyooo fainali, yaichapa Yanga 3-2 nusu fainali
Azam Fc hiyooo fainali, yaichapa Yanga 3-2 nusu fainali
Today, READ MORE β†’