Baada ya Simba SC na Azam FC kufuzu fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB Bank msimu wa 2025/26, mjadala mkubwa sasa umehamia kwenye uwanja utakaotumika kuchezwa pambano hilo la Julai 4, 2026.
Kwa misimu miwili mfululizo, fainali hiyo imefanyika Zanzibar katika dimba la New Amaan Complex, lakini safari hii wadau wengi wa soka wanaona ni wakati muafaka wa kuirejesha Dar es Salaam, jiji..... download Xtra 90 App



