Ligi Kuu ya NBC inaelekea ukingoni ambapo Jumanne ijayo, Juni 30 ligi hiyo itafikia tamati kwa mechi za mzunguuko wa 30 kupigwa.
Bodi ya ligi imethibitisha kuwa mechi zote za raundi ya 28, 29 na 30 zote zitapigwa muda mmoja saa 10 jioni. Lengo ni kuhakikisha hakuna uwezekano wa upangaji wa matokeo.
Wakati kukiwa na vita kali kwenye mbio za ubingwa kati ya Yanga na Simba, chini ya..... download Xtra 90 App



