Kombe la Dunia 2026 limeendelea kushuhudia ushindani mkali si tu kati ya mataifa yanayowania ubingwa, bali pia kati ya washambuliaji wakubwa wa kizazi hiki. Nahodha wa Argentina Lionel Messi, nyota wa Ufaransa Kylian Mbappe na mshambuliaji wa Norway Erling Haaland wameibuka kuwa vinara wa mjadala mkubwa katika hatua ya makundi baada ya kuonyesha uwezo mkubwa wa kufunga..... download Xtra 90 App



