Mshambuliaji wa kimataifa wa Argentina, Julián Álvarez, ameripotiwa kuongeza shinikizo la kutaka kuondoka Atlético Madrid ili kutimiza ndoto yake ya kujiunga na Barcelona, katika sakata linaloendelea kuvuta hisia kubwa kwenye soka la Ulaya.
Kwa mujibu wa taarifa, Álvarez ameonesha nia ya wazi ya kuangalia changamoto mpya ya kikazi, hali iliyoendelea kuibua maswali kuhusu hatma yake..... download Xtra 90 App



