Serengeti Girls yawinda taji la CECAFA dhidi ya Uganda

Jairo Mtitu By Jairo Mtitu β€’ 23rd June 2026


Serengeti Girls yawinda taji la CECAFA dhidi ya Uganda

Timu ya Taifa ya Wanawake chini ya miaka 17, Serengeti Girls, leo itakuwa na kibarua kizito cha kuwania ubingwa wa #CECAFAU-17 dhidi ya Uganda katika mchezo wa fainali utakaopigwa kwenye dimba la #KMCComplex, Dar es Salaam.

Kikosi cha Tanzania kinachonolewa na Kocha msaidizi, Esther Chabruma kimefika fainali baada ya kuonyesha kiwango bora katika mashindano hayo, huku kikisaka kumalizia safari yake kwa kutwaa taji mbele ya mashabiki wa nyumbani.

Uganda nayo imeingia fainali ikiwa haijapoteza mchezo wowote, jambo linaloifanya mechi hiyo kutarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kati ya mataifa mawili yaliyokuwa katika kiwango bora tangu kuanza kwa mashindano.

Wakati huo huo, Kenya watakipiga dhidi ya South Sudan katika mchezo wa kuwania nafasi ya tatu, huku kila timu ikisaka kumaliza mashindano hayo kwa ushindi.


  

More Stories

JS Kabylie Waachana na Ecua Celestine, Hatma yake na Yanga kujadiliwa
JS Kabylie Waachana na Ecua Celestine, Hatma yake na Yanga kujadiliwa
Today, READ MORE β†’
Ali Kamwe aahidi kumaliza hadithi za Azam FC Zanzibar
Ali Kamwe aahidi kumaliza hadithi za Azam FC Zanzibar
Today, READ MORE β†’
Mganga wa Ghana atishia kumlaani Mshambuliaji Harry Kane kabla ya mechi yao dhidi ya England
Mganga wa Ghana atishia kumlaani Mshambuliaji Harry Kane kabla ya mechi yao dhidi ya England
Today, READ MORE β†’
 Lumumba Vea Shabiki aliebadili dakika 90 kuwa Historia ,  Atua Marekani
Lumumba Vea Shabiki aliebadili dakika 90 kuwa Historia , Atua Marekani
Today, READ MORE β†’
Serengeti Girls yawinda taji la CECAFA dhidi ya Uganda
Serengeti Girls yawinda taji la CECAFA dhidi ya Uganda
Today, READ MORE β†’
Ahmed awatamani zaidi Yanga , Azam wagumu
Ahmed awatamani zaidi Yanga , Azam wagumu
Today, READ MORE β†’
Messi, Ronaldo wazidi kuwagawa mashabiki Duniani
Messi, Ronaldo wazidi kuwagawa mashabiki Duniani
Today, READ MORE β†’
Simba yawasili Morogoro tayari kuikabili Mtibwa Sugar
Simba yawasili Morogoro tayari kuikabili Mtibwa Sugar
Today, READ MORE β†’
Casemiro Aungana na Messi
Casemiro Aungana na Messi
Today, READ MORE β†’
Alvarez aweka wazi mapenzi yake kwa Barcelona, Atletico yaweka ngumu kumuuza
Alvarez aweka wazi mapenzi yake kwa Barcelona, Atletico yaweka ngumu kumuuza
Today, READ MORE β†’