Mjadala wa aina yake umeibuka kuelekea mchezo wa Kombe la Dunia 2026 kati ya Ghana na England baada ya mganga wa jadi maarufu wa Ghana, Nana Kwaku Bonsam, kudai kuwa anafanya kila linalowezekana kuhakikisha nahodha wa England, Harry Kane, hawezi kuwa na ushawishi mkubwa katika mchezo huo.
Akizungumza na vyombo vya habari, Bonsam alisema kuwa ameelekeza nguvu zake kwa mshambuliaji huyo wa..... download Xtra 90 App



