Ali Kamwe aahidi kumaliza hadithi za Azam FC Zanzibar

Jairo Mtitu By Jairo Mtitu β€’ 23rd June 2026


Ali Kamwe aahidi kumaliza hadithi za Azam FC Zanzibar

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga, Ally Kamwe mara baada ya kuwasili Zanzibar, amesema kikosi hicho kimewasili Zanzibar kikiwa na lengo moja tu la kuhakikisha kinatwaa taji la NBC Premier League na kufuta maumivu ya kupoteza mbele ya Azam FC kwenye nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB Bank.

Akizungumza baada ya kuwasili visiwani humo, Kamwe alisema Azam FC wamebaki na simulizi pekee baada ya ushindi wao wa hivi karibuni, huku akisisitiza kuwa Yanga ipo tayari kumalizia kazi kwenye mchezo ujao.

"Tumeshakula ng'ombe mzima, mkiatu ni kidogo sana na pagumu mno," alisema Kamwe akimaanisha kuwa hatua iliyobaki kuelekea ubingwa si kubwa ukilinganisha na kazi ambayo tayari wameifanya msimu mzima.

Hata hivyo, Yanga inakabiliwa na mtihani mgumu mbele ya Azam FC ambao tayari wameonyesha uwezo wao wa kuwazuia Wananchi baada ya ushindi wa mabao 3-2 katika nusu fainali ya Kombe la Shirikisho. Swali kubwa kwa sasa ni je, Azam FC wataweza kuibuka washindi kwa mara ya pili mfululizo dhidi ya Yanga katika Uwanja wa New Amaan Complex, au Wananchi watatumia mchezo huo kuthibitisha ubora wao na kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara?


  

More Stories

DARESSALAAMDERBY | β€œSisi siyo timu ya kuweka vichwa chini...” – Ally Kamwe
DARESSALAAMDERBY | β€œSisi siyo timu ya kuweka vichwa chini...” – Ally Kamwe
Today, READ MORE β†’
Maresca Mguu Sawa Man City
Maresca Mguu Sawa Man City
Today, READ MORE β†’
Je, tuwape heshima yao au wachukue kwa nguvu?
Je, tuwape heshima yao au wachukue kwa nguvu?
Today, READ MORE β†’
Simba watamba kuvuna alama mbele ya Mtibwa Sugar, Barker akihitaji ushindi wa lazima
Simba watamba kuvuna alama mbele ya Mtibwa Sugar, Barker akihitaji ushindi wa lazima
Today, READ MORE β†’
Yanga, Azam zatambiana kuelekea kesho
Yanga, Azam zatambiana kuelekea kesho
Today, READ MORE β†’
JS Kabylie Waachana na Ecua Celestine, Hatma yake na Yanga kujadiliwa
JS Kabylie Waachana na Ecua Celestine, Hatma yake na Yanga kujadiliwa
Today, READ MORE β†’
Ali Kamwe aahidi kumaliza hadithi za Azam FC Zanzibar
Ali Kamwe aahidi kumaliza hadithi za Azam FC Zanzibar
Today, READ MORE β†’
Mganga wa Ghana atishia kumlaani Mshambuliaji Harry Kane kabla ya mechi yao dhidi ya England
Mganga wa Ghana atishia kumlaani Mshambuliaji Harry Kane kabla ya mechi yao dhidi ya England
Today, READ MORE β†’
 Lumumba Vea Shabiki aliebadili dakika 90 kuwa Historia ,  Atua Marekani
Lumumba Vea Shabiki aliebadili dakika 90 kuwa Historia , Atua Marekani
Today, READ MORE β†’
Serengeti Girls yawinda taji la CECAFA dhidi ya Uganda
Serengeti Girls yawinda taji la CECAFA dhidi ya Uganda
Today, READ MORE β†’