JS Kabylie Waachana na Ecua Celestine, Hatma yake na Yanga kujadiliwa

Xtra 90 Media By Xtra 90 Media β€’ 23rd June 2026


JS Kabylie Waachana na Ecua Celestine, Hatma yake na Yanga kujadiliwa

Klabu ya JS Kabylie ya Algeria imeamua kuachana na winga raia wa Burkina Faso, Ecua Celestin (24), baada ya kumalizika kwa kipindi chake cha mkopo katika timu hiyo. Uongozi wa klabu hiyo pia umeamua kutotumia kipengele kilichokuwa kinairuhusu kumsajili moja kwa moja kutoka Young Africans SC.

Ecua alijiunga na JS Kabylie kwa matumaini ya kupata nafasi zaidi ya kucheza na kuendeleza kiwango..... download Xtra 90 App


  


More Stories

Yanga yafafanua taarifa ya kufungiwa na FIFA
Yanga yafafanua taarifa ya kufungiwa na FIFA
Today, READ MORE β†’
Henry David apewa mkataba Singida BS
Henry David apewa mkataba Singida BS
Today, READ MORE β†’
Neo Maema arejea Mazoezini Simba SC
Neo Maema arejea Mazoezini Simba SC
Today, READ MORE β†’
Chelsea wakamilisha usajili wa Pep Chavarria, Huku wakihitajika kupunguza idadi ya wachezaji.
Chelsea wakamilisha usajili wa Pep Chavarria, Huku wakihitajika kupunguza idadi ya wachezaji.
Today, READ MORE β†’
Selemani Mwalimu arejea rasmi Wydad AC baada ya kumaliza mkopo Simba SC
Selemani Mwalimu arejea rasmi Wydad AC baada ya kumaliza mkopo Simba SC
Today, READ MORE β†’
Simba yaialika Polisi FC Kenya kunogesha Simba Day ya miaka 90
Simba yaialika Polisi FC Kenya kunogesha Simba Day ya miaka 90
Today, READ MORE β†’
Vini Jr aongeza mkataba wa miaka sita Real Madrid hadi 2032
Vini Jr aongeza mkataba wa miaka sita Real Madrid hadi 2032
Today, READ MORE β†’
CECAFA Kagame Cup 2026 kufikia tamati leo kwa fainali na mchezo wa mshindi wa tatu
CECAFA Kagame Cup 2026 kufikia tamati leo kwa fainali na mchezo wa mshindi wa tatu
Today, READ MORE β†’
Mossi atua MC Alger
Mossi atua MC Alger
Today, READ MORE β†’
Yanga yapigwa marufuku ya usajili na FIFA
Yanga yapigwa marufuku ya usajili na FIFA
Today, READ MORE β†’