DARESSALAAMDERBY | “Sisi siyo timu ya kuweka vichwa chini...” – Ally Kamwe

Xtra 90 Media By Xtra 90 Media • 23rd June 2026


DARESSALAAMDERBY | “Sisi siyo timu ya kuweka vichwa chini...” – Ally Kamwe

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga, Ally Kamwe, amesema kikosi hicho kipo imara kiakili na kipo tayari kwa mchezo muhimu wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Azam FC katika Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar.

Kamwe amewataka wanachama na mashabiki wa klabu hiyo kuendelea kuungana na timu katika michezo mitatu iliyosalia ya Ligi Kuu Tanzania Bara, akisisitiza kuwa nafasi ya kutwaa ubingwa wa tano mfululizo ni historia kubwa inayohitaji mshikamano, imani na sapoti kutoka kwa kila Mwananchi.

Aidha, amesema matokeo ya mchezo uliopita dhidi ya Azam FC hayawezi kuiondoa Yanga kwenye mstari wa mapambano ya ubingwa, kwani timu hiyo imeonyesha uimara mkubwa msimu mzima na bado ina nafasi kubwa ya kufikia malengo yake.

Kwa upande mwingine, Kamwe amesema mchezo huo si wa wachezaji pekee bali ni wa mashabiki pia, akiwahamasisha kujitokeza kwa wingi katika Uwanja wa New Amaan Complex ili kuisukuma timu kuelekea ushindi muhimu na hatua nyingine ya kuukaribia ubingwa wa ligi


  

More Stories

DARESSALAAMDERBY | “Sisi siyo timu ya kuweka vichwa chini...” – Ally Kamwe
DARESSALAAMDERBY | “Sisi siyo timu ya kuweka vichwa chini...” – Ally Kamwe
Today, READ MORE →
Maresca Mguu Sawa Man City
Maresca Mguu Sawa Man City
Today, READ MORE →
Je, tuwape heshima yao au wachukue kwa nguvu?
Je, tuwape heshima yao au wachukue kwa nguvu?
Today, READ MORE →
Simba watamba kuvuna alama mbele ya Mtibwa Sugar, Barker akihitaji ushindi wa lazima
Simba watamba kuvuna alama mbele ya Mtibwa Sugar, Barker akihitaji ushindi wa lazima
Today, READ MORE →
Yanga, Azam zatambiana kuelekea kesho
Yanga, Azam zatambiana kuelekea kesho
Today, READ MORE →
JS Kabylie Waachana na Ecua Celestine, Hatma yake na Yanga kujadiliwa
JS Kabylie Waachana na Ecua Celestine, Hatma yake na Yanga kujadiliwa
Today, READ MORE →
Ali Kamwe aahidi kumaliza hadithi za Azam FC Zanzibar
Ali Kamwe aahidi kumaliza hadithi za Azam FC Zanzibar
Today, READ MORE →
Mganga wa Ghana atishia kumlaani Mshambuliaji Harry Kane kabla ya mechi yao dhidi ya England
Mganga wa Ghana atishia kumlaani Mshambuliaji Harry Kane kabla ya mechi yao dhidi ya England
Today, READ MORE →
 Lumumba Vea Shabiki aliebadili dakika 90 kuwa Historia ,  Atua Marekani
Lumumba Vea Shabiki aliebadili dakika 90 kuwa Historia , Atua Marekani
Today, READ MORE →
Serengeti Girls yawinda taji la CECAFA dhidi ya Uganda
Serengeti Girls yawinda taji la CECAFA dhidi ya Uganda
Today, READ MORE →