Klabu ya Simba SC inatajwa kuanza harakati za kusaka mbadala wa mshambuliaji Jonathan Sowah huku wakielekeza nguvu zao kwa nyota wa Stade Malien ya Mali, Taddeus Nkeng.
Taarifa kutoka duru za usajili, zimebainisha kuwa Simba tayari wako kwenye mazungumzo ya awali kwa ajili ya huduma za mshambuliaji huyo raia wa Cameroon mwenye umri wa miaka 26.
Nkeng alikuwa mmoja wa washambuliaji..... download Xtra 90 App



