Timu ya Taifa ya Wanawake ya Burkina Faso, Les Étalons Dames, ipo katika kambi maalum ya Jeshi la SND Loumbila kwa mafunzo ya siku 10 yanayolenga kuimarisha uzalendo, nidhamu na mshikamano miongoni mwa wachezaji.
Mafunzo hayo yanafanyika chini ya uongozi wa kocha mkuu Pascal Sawadogo na benchi lake la ufundi, ikiwa ni sehemu ya mpango ulioanzishwa na Serikali ya Burkina Faso kwa timu..... download Xtra 90 App



