Martin Dúbravka kutua Tottenham Hotspurs, Vicario aweka nia ya kuondoka.

Xtra 90 Media By Xtra 90 Media • 25th June 2026


Martin Dúbravka kutua Tottenham Hotspurs, Vicario aweka nia ya kuondoka.

Tottenham Hotspur wamefikia makubaliano ya kumsajili kipa mwenye uzoefu mkubwa Martin Dubravka, ambaye anatarajiwa kujiunga rasmi na klabu hiyo katika dirisha hili la usajili. Makubaliano hayo yamekamilika, huku nyota huyo akitarajiwa kuongeza ushindani na uzoefu ndani ya kikosi cha Spurs.

Dubravka, ambaye amewahi kuzichezea klabu mbalimbali ikiwemo Burnley na Manchester United, anajiunga..... download Xtra 90 App


  


More Stories

Kamwe kuongoza shamrashamra za utambulisho Yanga
Kamwe kuongoza shamrashamra za utambulisho Yanga
Today, READ MORE →
Mabula kutangazwa Yanga leo?
Mabula kutangazwa Yanga leo?
Today, READ MORE →
Ni Yanga Day 2026: Uwanja wa Uhuru
Ni Yanga Day 2026: Uwanja wa Uhuru
Today, READ MORE →
Polisi Fc Kenya yatibua furaha Simba Day, yaichapa Simba 1-0
Polisi Fc Kenya yatibua furaha Simba Day, yaichapa Simba 1-0
Today, READ MORE →
Suleiman Mwalimu arejea Simba, atambulishwa Simba Day
Suleiman Mwalimu arejea Simba, atambulishwa Simba Day
Today, READ MORE →
Baba mzazi wa Lionel Messi, Jorge Messi afariki dunia
Baba mzazi wa Lionel Messi, Jorge Messi afariki dunia
Yesterday, READ MORE →
Mosimane kuinoa Bafana Bafana
Mosimane kuinoa Bafana Bafana
Yesterday, READ MORE →
TFF yatangaza viingilio Ngao ya jamii Zanzibar
TFF yatangaza viingilio Ngao ya jamii Zanzibar
Yesterday, READ MORE →
Simba Day yaanza kwa kishindo, Mashabiki waitika Uwanja wa Uhuru
Simba Day yaanza kwa kishindo, Mashabiki waitika Uwanja wa Uhuru
Yesterday, READ MORE →
Sundowns kustaafisha jezi ya Jayden Adams
Sundowns kustaafisha jezi ya Jayden Adams
Yesterday, READ MORE →