Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Gerson Msigwa, amesema maandalizi ya michuano ya AFCON 2027 yanapaswa kwenda sambamba na juhudi za kuibua na kukuza vipaji vipya vya soka nchini kupitia mashindano na mabonanza mbalimbali ya vijana.
Msigwa ameeleza kuwa Tanzania ina nafasi kubwa ya kunufaika na mashindano hayo ikiwa itawekeza mapema katika maendeleo ya vijana..... download Xtra 90 App



