Kaimu Afisa Habari wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Yahya Abushehe, amesema siku chache zilizobaki za NBC Premier League zitakuwa na majibu ya maswali mengi yanayowasumbua mashabiki wa soka nchini, ikiwemo nani atatwaa ubingwa, nani atasalia ligi kuu na nani atashuka daraja.
Abushehe ametoa kauli hiyo baada ya kupongeza namna mechi zote nane za mzunguko uliopita zilivyochezwa kwa..... download Xtra 90 App



