Simba dhidi ya Singida BS kupigwa dimba la Isamuhyo

Joel JJ By Joel JJ β€’ 25th June 2026


Simba dhidi ya Singida BS kupigwa dimba la Isamuhyo

Mchezo wa ligi kuu ya NBC kati ya Simba SC dhidi yaSingida BS utapigwa katika uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo, uliopo jijini Dar es Salaam.

Mchezo huo wa raundi ya 29 umepangwa kuchezwa Jumamosi saa 10 jioni, kama ilivyo kwa michezo mingine yote ya raundi hiyo ambayo pia itaanza kwa wakati mmoja.

Kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa, michezo yote ya raundi ya 29 itachezwa saa 10 jioni,..... download Xtra 90 App


  


More Stories

Yanga yapigwa na Les Aigles Du Congo Yanga Day
Yanga yapigwa na Les Aigles Du Congo Yanga Day
Today, READ MORE β†’
Yanga yatangaza kuwaongeza mastaa mikataba
Yanga yatangaza kuwaongeza mastaa mikataba
Today, READ MORE β†’
Kamwe kuongoza shamrashamra za utambulisho Yanga
Kamwe kuongoza shamrashamra za utambulisho Yanga
Today, READ MORE β†’
Mabula kutangazwa Yanga leo?
Mabula kutangazwa Yanga leo?
Today, READ MORE β†’
Ni Yanga Day 2026: Uwanja wa Uhuru
Ni Yanga Day 2026: Uwanja wa Uhuru
Today, READ MORE β†’
Polisi Fc Kenya yatibua furaha Simba Day, yaichapa Simba 1-0
Polisi Fc Kenya yatibua furaha Simba Day, yaichapa Simba 1-0
Yesterday, READ MORE β†’
Suleiman Mwalimu arejea Simba, atambulishwa Simba Day
Suleiman Mwalimu arejea Simba, atambulishwa Simba Day
Yesterday, READ MORE β†’
Baba mzazi wa Lionel Messi, Jorge Messi afariki dunia
Baba mzazi wa Lionel Messi, Jorge Messi afariki dunia
Yesterday, READ MORE β†’
Mosimane kuinoa Bafana Bafana
Mosimane kuinoa Bafana Bafana
Yesterday, READ MORE β†’
TFF yatangaza viingilio Ngao ya jamii Zanzibar
TFF yatangaza viingilio Ngao ya jamii Zanzibar
Yesterday, READ MORE β†’