Timu ya Taifa ya Wanawake Tanzania, Twiga Stars, imeanza rasmi kambi ya maandalizi mjini Karatu kuelekea Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026 zitakazofanyika nchini Morocco mwezi Julai.
Kambi hiyo imewakutanisha wachezaji wa ndani na wale wanaocheza soka la kulipwa nje ya nchi huku benchi la ufundi likianza maandalizi ya mwisho kwa ajili ya mashindano hayo..... download Xtra 90 App



