Kenya wapo moto kusubiri ujio wa AFCON 2027

Jairo Mtitu By Jairo Mtitu β€’ 26th June 2026


Kenya wapo moto kusubiri ujio wa AFCON 2027

Kenya imezidi kuonyesha kasi ya maandalizi yao kuelekea michuano ya #AFCON2027, huku ujenzi wa miundombinu muhimu ukiendelea. Mashabiki wa soka kutoka kila kona ya bara wanazidi kupata matumaini kwamba AFCON 2027 itakuwa ya kipekee zaidi kuwahi kutokea.

Uwanja huu mpya unatarajiwa kuwa kitovu cha burudani, mshikamano, na historia mpya ya soka barani Afrika. Dimba la Talanta Sports City unaendelea kuchukua sura, ishara kuwa nchi hiyo ipo kwenye hatua nzuri za kujiandaa kuwapokea mataifa na mashabiki kutoka kote Afrika.

Ikiwa imebaki takribani siku 360 kabla ya mashindano hayo kuanza, Kenya imeweka wazi kuwa ipo tayari kuhakikisha mashindano hayo yanafanyika katika mazingira ya viwango vya kimataifa, huku maandalizi yakizidi kushika kasi siku hadi siku, huku uwanja huo wa kisasa ukitarajiwa kuwa miongoni mwa vivutio vikuu vya AFCON 2027. Serikali na wadau wa soka wanaamini nchi iko kwenye njia sahihi ya kuandaa mashindano yenye viwango vya kimataifa.


  

More Stories

Valverde na wenzake wamgeukia Bielsa, Mvutano Wazidi kambi ya Uruguay.
Valverde na wenzake wamgeukia Bielsa, Mvutano Wazidi kambi ya Uruguay.
Today, READ MORE β†’
Mtazamo wako ni upi juu ya tukio ili ?
Mtazamo wako ni upi juu ya tukio ili ?
Today, READ MORE β†’
Singida , Tukishindwa kuifunga simba hatustahili kimataifa
Singida , Tukishindwa kuifunga simba hatustahili kimataifa
Today, READ MORE β†’
Barker , Tukitumia nafasi Singida hawachomoki
Barker , Tukitumia nafasi Singida hawachomoki
Today, READ MORE β†’
Kenya wapo moto kusubiri ujio wa AFCON 2027
Kenya wapo moto kusubiri ujio wa AFCON 2027
Today, READ MORE β†’
Tunataka Ushindi TU , Moalin
Tunataka Ushindi TU , Moalin
Today, READ MORE β†’
Rais Wydad AC, Said Naciri afungwa miaka 10 jela
Rais Wydad AC, Said Naciri afungwa miaka 10 jela
Today, READ MORE β†’
Hatma ya Senegal kufahamika leo, mbele ya Iraq
Hatma ya Senegal kufahamika leo, mbele ya Iraq
Today, READ MORE β†’
Nahodha TRA Awapiga Dongo , Msitutegemee
Nahodha TRA Awapiga Dongo , Msitutegemee
Today, READ MORE β†’
Ivory Coast Yafanya makubwa , yaungana na Afrika kusini , Morocco 32 bora
Ivory Coast Yafanya makubwa , yaungana na Afrika kusini , Morocco 32 bora
Today, READ MORE β†’