Kiungo wa Simba, Allassane Kante, ameendelea kuonyesha uwezo mzuri wa kupiga pasi na kujenga mashambulizi kutoka nyuma, lakini baadhi ya wachambuzi wa soka wanaamini bado ana kasoro zinazoweza kumgharimu kama zilivyomtokea Che Fondoh Malone.
Kante mara kadhaa ameonekana kuchelewa kuachia mpira kwa kutaka kuukokota bila ulazima, jambo linalowapa wapinzani nafasi ya kufanya presha na..... download Xtra 90 App



