Mechi za ligi kuu ya NBC raundi ya 29 zimehitimishwa leo kwa vigogo wa soka nchini Ynga na Simba kuendelea kuchuana kwenye mbio za ubingwa baada zote kushinda.
Ikicheza uwanja wa KMC Complex, Yanga ikiwaadhibu TRA United mabao 3-0 kiungo mshambuliaji Allan Okello akifunga hat-trik ya nne msimu huu.
Ushindi huo umeifanya Yanga ifikishe alama 72 na kuendelea kusalia kileleni mwa..... download Xtra 90 App



