Timu ya Taifa ya Uingereza imeonyesha ubora wake baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Panama katika mchezo wa mwisho wa Kundi L na kutinga hatua ya 32 bora ya Kombe la Dunia 2026 ikiwa kinara wa kundi.
Baada ya kipindi cha kwanza kumalizika bila mabao, Uingereza ilirejea kwa kasi kipindi cha pili ambapo Jude Bellingham alifungua ukurasa wa mabao dakika ya 62 kwa shuti kali..... download Xtra 90 App



