Msimu wa ligi kuu Tanzania bara unatarajiwa kutamatika hii leo huku miongoni mwa vita kubwa ukiachilia vita ya ubingwa ni nani atakuwa mfungaji bora wa msimu , hii inakuja kufatia tofauti ndogo ya mabao ya wafungaji hao ambapo kinara Feisal Salumu anaongoza vita hiyo akiwa na mabao 15 huku Allan Okello na Ndumumwe Mossi wakifatia kwa kila mmoja kufunga mabao 14 .



