Nahodha mkuu wa kikosi Cha Yanga Bakari Nondo Mwamnyeto atakosekana kwenye mchezo wa Leo kutokana na kuwa na kadi nne za njano, Mwamnyeto atakosekana katika mchezo huo wa kufungia msimu dhidi ya jkt Tanzania utakaochezwa majira ya saa 10 jioni katika uwanja wa Maj Gen Isamuyo , Frank Assink anatarajiwa kuwa mbadala wa Mwamnyeto katika eneo la mlinzi wa kati akiungana na Ibrahimu Bacca .



