Local,Normal News,Ligi Kuu, Singida, Fountain, Azam, Yanga, Simba

Mossi kaweka hat-trik nyingine, atwaa ufungaji bora

Joel JJ By Joel JJ
β€’
30 Jun 2026
Mossi kaweka hat-trik nyingine, atwaa ufungaji bora

Mshambuliaji wa Singida BS Ndumumwe Mossi amefunga hat-trik yake ya pili msimu huu licha ya klabu yake kukubali kipigo cha mabao 4-3 dhidi ya Fountain Gate katika mchezo wa mwisho uliopigwa uwanja wa Sheikh Amri Abeid.

Mossi ameibuka kuwa mfungaji bora baada ya kufikisha mabao 17 akimpiku Feisal Salum 'Fei Toto' wa Azam Fc ambao licha ya kuongoza mbio hizo kwa muda mrefu, amemaliza msimu na mabao 15.

Nafasi ya tatu imeenda kwa Allain Okello ambaye ameweka kambani mabao 14.

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
3h ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
6h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
8h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
10h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
12h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
13h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
13h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
15h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
18h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
1d ago
READ MORE β†’