JKT Tanzania Yaomba Radhi Kuumia Kwa Pacome Zouzoua

Abdulrahman Said By Abdulrahman Said β€’ 1st July 2026


JKT Tanzania Yaomba Radhi Kuumia Kwa Pacome Zouzoua

Uongozi wa JKT Tanzania umetoa salamu za pole na kuomba radhi kufuatia jeraha alilopata kiungo wa Yanga SC, Pacome Zouzoua, katika mchezo wa mwisho wa msimu wa 2025/26 wa NBC Premier League uliochezwa Juni 30, 2026 kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo, Dar es Salaam.

Kupitia taarifa rasmi, uongozi wa JKT Tanzania umesema umeguswa na tukio hilo na umeomba radhi kwa niaba ya mchezaji wao, Hassan Wahabi, ambaye alihusika katika tukio lililosababisha Pacome kuumia wakati wakipambana kuwania mpira.

Klabu hiyo imemtakia Pacome nafuu ya haraka na kurejea uwanjani akiwa katika afya njema, ikisisitiza kuwa tukio hilo halikuwa la makusudi bali lilitokea katika harakati za kawaida za mchezo wa soka.


  

More Stories

Kampeni Yanga ; Slogan Mwakani Tena
Kampeni Yanga ; Slogan Mwakani Tena
Today, READ MORE β†’
Chamou Karaboue : Asanteni Simba
Chamou Karaboue : Asanteni Simba
Today, READ MORE β†’
Leo kombe la Dunia 2026; Hatua ya mtoano, mechi tatu za kibabe kupigwa
Leo kombe la Dunia 2026; Hatua ya mtoano, mechi tatu za kibabe kupigwa
Today, READ MORE β†’
Simba yaweka nguvu fainali kombe la CRDB
Simba yaweka nguvu fainali kombe la CRDB
Today, READ MORE β†’
Liverpool yamnasa mrithi wa Konate
Liverpool yamnasa mrithi wa Konate
Today, READ MORE β†’
KMC Ya Shukuru Mashabiki na Kuahidi Kurejea Ligi kuu Karibuni .
KMC Ya Shukuru Mashabiki na Kuahidi Kurejea Ligi kuu Karibuni .
Today, READ MORE β†’
Okello aandika historia kwa ubingwa nchi mbili msimu mmoja
Okello aandika historia kwa ubingwa nchi mbili msimu mmoja
Today, READ MORE β†’
Yanga yathibitisha Pacome kufanyiwa upasuaji Hospitali ya Agha Khan
Yanga yathibitisha Pacome kufanyiwa upasuaji Hospitali ya Agha Khan
Today, READ MORE β†’
Mbappe Aizonga Rekodi Ya Messi Kombe la Dunia
Mbappe Aizonga Rekodi Ya Messi Kombe la Dunia
Today, READ MORE β†’
Bouaddi kipaji cha Morocco kwenye Radar za Manchester City
Bouaddi kipaji cha Morocco kwenye Radar za Manchester City
Today, READ MORE β†’