Ufaransa imeendelea kuonyesha ubora wake kwenye Kombe la Dunia 2026 baada ya kuichapa Sweden mabao 3-0 na kufuzu rasmi hatua ya 16 Bora kwa rekodi ya kuvutia ya kushinda mechi zote nne ilizocheza hadi sasa.
Nahodha wa ushambuliaji, Kylian MbappΓ©, aliendelea kuthibitisha ubora wake kwa kufunga mabao mawili na kuiongoza Les Bleus kwenye ushindi huo muhimu. Bradley Barcola naye aliandika..... download Xtra 90 App



