Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga, Ali Kamwe, amethibitisha hali ya mchezaji wao Pacôme Zouzoua baada ya kuumia katika mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya JKT Tanzania uliochezwa uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo.
Katika mchezo huo, Yanga iliibuka na ushindi wa mabao 3-0 na kutwaa taji la Ligi Kuu kwa msimu wa tano mfululizo. Hata hivyo, ushindi huo uliambatana na huzuni baada ya Pacôme..... download Xtra 90 App



