Leo kombe la Dunia 2026; Hatua ya mtoano, mechi tatu za kibabe kupigwa

Xtra 90 Media By Xtra 90 Media β€’ 1st July 2026


Leo kombe la Dunia 2026; Hatua ya mtoano, mechi tatu za kibabe kupigwa

Hatua ya mtoano ya Kombe la Dunia la FIFA 2026 inaendelea leo kwa mechi tatu zinazotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa, huku kila timu ikisaka tiketi ya kutinga hatua inayofuata. Katika hatua hii hakuna nafasi ya kufanya makosa, kwani mshindi anaendelea na safari ya ubingwa huku aliyefungwa akiaga mashindano.

Macho mengi yataelekezwa kwenye mchezo kati ya England na DR Congo utakaopigwa saa..... download Xtra 90 App


  


More Stories

Mgunda atua Simba
Mgunda atua Simba
Today, READ MORE β†’
Feisal kuikosa Polisi Tanzania Leo sababu yafichuka
Feisal kuikosa Polisi Tanzania Leo sababu yafichuka
Today, READ MORE β†’
Kaizer Chiefs vs Mamelodi Sundowns: Preview ya pambano kubwa la PSL leo
Kaizer Chiefs vs Mamelodi Sundowns: Preview ya pambano kubwa la PSL leo
Today, READ MORE β†’
Manchester City kujaribu tena kumsajili Enzo Fernandez
Manchester City kujaribu tena kumsajili Enzo Fernandez
Today, READ MORE β†’
Romero atua Atletico Madrid kwa dau la Euro Milioni 40
Romero atua Atletico Madrid kwa dau la Euro Milioni 40
Today, READ MORE β†’
Ligi Kuu ya NBC yaendelea leo kwa mechi tatu, Yanga na Azam FC ugenini
Ligi Kuu ya NBC yaendelea leo kwa mechi tatu, Yanga na Azam FC ugenini
Today, READ MORE β†’
Simba kumpata Fei Toto ugumu uko hapa
Simba kumpata Fei Toto ugumu uko hapa
Today, READ MORE β†’
Simba kufunga dirisha la usajili na watatu
Simba kufunga dirisha la usajili na watatu
Today, READ MORE β†’
Ligi Kuu; Singida BS ilivyoiadhibu Fountan Gate 3-0
Ligi Kuu; Singida BS ilivyoiadhibu Fountan Gate 3-0
Today, READ MORE β†’
Singida BS yaifumua Fountain Gate 3-0
Singida BS yaifumua Fountain Gate 3-0
Today, READ MORE β†’