Chamou Karaboue : Asanteni Simba

Abdulrahman Said By Abdulrahman Said β€’ 1st July 2026


Chamou Karaboue : Asanteni Simba

Mlinzi raia wa Ivory Coast Chamou Karaboue ametangaza rasmi kung'atuka ndani ya kikosi Cha Simba sports club kufuatia kutamatika kwa mkataba wake na miamba hiyo ya msimbazi.

Taarifa hiyo imetolewa na mchezaji huyo kupitia mtandao wake rasmi wa kijamii huku akiwashukuru wachezaji wenzake , viongozi na mashabiki wa Timu hiyo.

" Baada ya miaka miwili muda umefika wakusema Asante , asanteni kwa kila kitu naondoka katika Timu hii lakini sehemu ya mimi itabaki apa " amesema Chamou.

Karaboue alijiunga na Simba msimu wa 2023-24 na kutumikia msimu mmoja pekee kabla ya kutolewa kwa mkopo TRA United ambayo ameitukia msimu wa huu wa 2025-26


  

More Stories

Fainali CRDB Cup; Azam Fc yaitangulia Simba Zanzibar
Fainali CRDB Cup; Azam Fc yaitangulia Simba Zanzibar
Today, READ MORE β†’
JKT Tanzania wamtembelea Pacome Zouzoua hospitali kutoa pole na kumtia moyo
JKT Tanzania wamtembelea Pacome Zouzoua hospitali kutoa pole na kumtia moyo
Today, READ MORE β†’
Mpanzu abeba tuzo ya kinara wa assisti kwa assisti 10
Mpanzu abeba tuzo ya kinara wa assisti kwa assisti 10
Today, READ MORE β†’
Azam yaiwahi Simba Pemba .
Azam yaiwahi Simba Pemba .
Today, READ MORE β†’
Kampeni Yanga ; Slogan Mwakani Tena
Kampeni Yanga ; Slogan Mwakani Tena
Today, READ MORE β†’
Chamou Karaboue : Asanteni Simba
Chamou Karaboue : Asanteni Simba
Today, READ MORE β†’
Leo kombe la Dunia 2026; Hatua ya mtoano, mechi tatu za kibabe kupigwa
Leo kombe la Dunia 2026; Hatua ya mtoano, mechi tatu za kibabe kupigwa
Today, READ MORE β†’
Simba yaweka nguvu fainali kombe la CRDB
Simba yaweka nguvu fainali kombe la CRDB
Today, READ MORE β†’
Liverpool yamnasa mrithi wa Konate
Liverpool yamnasa mrithi wa Konate
Today, READ MORE β†’
KMC Ya Shukuru Mashabiki na Kuahidi Kurejea Ligi kuu Karibuni .
KMC Ya Shukuru Mashabiki na Kuahidi Kurejea Ligi kuu Karibuni .
Today, READ MORE β†’