Mpanzu abeba tuzo ya kinara wa assisti kwa assisti 10

Jairo Mtitu By Jairo Mtitu β€’ 1st July 2026


Mpanzu abeba tuzo ya kinara wa assisti kwa assisti 10

Kiungo wa Simba SC, Elie Mpanzu, amehitimisha msimu wa 2025/26 wa NBC Premier League akiwa kinara wa kutoa assisti baada ya kuandika assisti 10, idadi iliyomfanya kuongoza orodha ya watengeneza mabao wengi zaidi msimu huu.

Mpanzu ameonyesha ubora mkubwa katika safu ya ushambuliaji ya Simba SC kwa uwezo wake wa kutengeneza nafasi za mabao, kutoa pasi za mwisho zenye usahihi na kuunganisha..... download Xtra 90 App


  


More Stories

Aziz Ki arejea rasmi jangwani, akabidhiwa jezi namba 10
Aziz Ki arejea rasmi jangwani, akabidhiwa jezi namba 10
Today, READ MORE β†’
Mgunda atua Simba
Mgunda atua Simba
Today, READ MORE β†’
Feisal kuikosa Polisi Tanzania Leo sababu yafichuka
Feisal kuikosa Polisi Tanzania Leo sababu yafichuka
Today, READ MORE β†’
Kaizer Chiefs vs Mamelodi Sundowns: Preview ya pambano kubwa la PSL leo
Kaizer Chiefs vs Mamelodi Sundowns: Preview ya pambano kubwa la PSL leo
Today, READ MORE β†’
Manchester City kujaribu tena kumsajili Enzo Fernandez
Manchester City kujaribu tena kumsajili Enzo Fernandez
Today, READ MORE β†’
Romero atua Atletico Madrid kwa dau la Euro Milioni 40
Romero atua Atletico Madrid kwa dau la Euro Milioni 40
Today, READ MORE β†’
Ligi Kuu ya NBC yaendelea leo kwa mechi tatu, Yanga na Azam FC ugenini
Ligi Kuu ya NBC yaendelea leo kwa mechi tatu, Yanga na Azam FC ugenini
Today, READ MORE β†’
Simba kumpata Fei Toto ugumu uko hapa
Simba kumpata Fei Toto ugumu uko hapa
Today, READ MORE β†’
Simba kufunga dirisha la usajili na watatu
Simba kufunga dirisha la usajili na watatu
Today, READ MORE β†’
Ligi Kuu; Singida BS ilivyoiadhibu Fountan Gate 3-0
Ligi Kuu; Singida BS ilivyoiadhibu Fountan Gate 3-0
Today, READ MORE β†’