England imefanikiwa kutinga hatua ya 16 bora ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya DR Congo katika mchezo wa hatua ya mtoano uliokuwa na ushindani mkubwa. Licha ya kuanza kwa presha kutoka kwa Wakongo, Three Lions walionyesha utulivu na kupindua matokeo ili kuendelea na safari ya kuwania taji.
Nahodha Harry Kane alikuwa shujaa wa England baada ya kufunga..... download Xtra 90 App



