Kuondolewa kwa senegal katika hatua ya 32 bora apo jana kiungo mahili wa taifa ilo Pape Gueye ametoa kauli tata iliyoshtua wapenzi na wadau wengi wa soka .
Kupitia mtandao wake wa kijamii wa Instagram kiungo huyo amechapisha andiko linaloeleza kuwa ikiwa hakutakuwa na mabadiliko yeyote kwenye benchi la timu hiyo basi atasimama kwa muda kutumikia Taifa ilo .





