Kichapo dhidi ya Ubelgiji , Kiungo Matata Senegal Atoa Nyongo kwa Benchi lake la Ufundi

Abdulrahman Said By Abdulrahman Said β€’ 2nd July 2026


Kichapo dhidi ya Ubelgiji , Kiungo Matata Senegal Atoa Nyongo kwa Benchi lake la Ufundi

Kuondolewa kwa senegal katika hatua ya 32 bora apo jana kiungo mahili wa taifa ilo Pape Gueye ametoa kauli tata iliyoshtua wapenzi na wadau wengi wa soka .

Kupitia mtandao wake wa kijamii wa Instagram kiungo huyo amechapisha andiko linaloeleza kuwa ikiwa hakutakuwa na mabadiliko yeyote kwenye benchi la timu hiyo basi atasimama kwa muda kutumikia Taifa ilo .

Senegal ilipoteza mchezo huo na kufuta ndoto za kutinga hatua ya 16 bora baada ya kukubali kichapo dhidi ya ubelgiji ambao walitumia dakika tano kukomboa uongozi wa senegal wa mabao mawili kabla ya kuongeza la tatu .

Senegal linakuwa taifa lingine kutokea bara la afrika kuaga mashindano ya WC2026 baada ya Tunisia, Dr Congo, Afrika kusini na Ivory Coast


  

More Stories

Mouringo ampeleka Camavinga Man City
Mouringo ampeleka Camavinga Man City
Today, READ MORE β†’
Tonali na Mateus Fernandez watua Spurs
Tonali na Mateus Fernandez watua Spurs
Today, READ MORE β†’
Kichapo dhidi ya Ubelgiji , Kiungo Matata Senegal Atoa Nyongo kwa Benchi lake la Ufundi
Kichapo dhidi ya Ubelgiji , Kiungo Matata Senegal Atoa Nyongo kwa Benchi lake la Ufundi
Today, READ MORE β†’
Ahmed Ally aongeza miaka miwili JKT Tanzania
Ahmed Ally aongeza miaka miwili JKT Tanzania
Today, READ MORE β†’
Simba mbioni kumalizana na kiungo mahiri Stellenbosch
Simba mbioni kumalizana na kiungo mahiri Stellenbosch
Today, READ MORE β†’
Dube aiweka Yanga njia panda
Dube aiweka Yanga njia panda
Today, READ MORE β†’
Ubelgiji wapindua meza kibabe kwa mara nyingine, Wakiwaondoa Senegal WC26
Ubelgiji wapindua meza kibabe kwa mara nyingine, Wakiwaondoa Senegal WC26
Today, READ MORE β†’
England yaiondoa DR Congo kombe la dunia 2026, Harry kane akiendelea kuonyesha makali
England yaiondoa DR Congo kombe la dunia 2026, Harry kane akiendelea kuonyesha makali
Today, READ MORE β†’
Barcelona kuzindua Uzi wao mpya utakaotumika msimu ujao.
Barcelona kuzindua Uzi wao mpya utakaotumika msimu ujao.
Today, READ MORE β†’
Laporta athibitisha, Barcelona imetuma ofa Atletico kumsajili Alvarez
Laporta athibitisha, Barcelona imetuma ofa Atletico kumsajili Alvarez
Today, READ MORE β†’