Mshambuliaji raia wa Zimbabwe Price Dube ametambulishwa rasmi katika klabu ya Hardrock ya zimbabwe ikiwa ni siku chache baada ya mshambuliaji huyo kumaliza msimu wa 2025-26 akiwa na miamba ya soka ya Yanga.
Dube anajiunga na miamba hiyo ya nchini kwao baada ya kutamatika kwa mkataba wake na yanga ambayo ameitumikia kwa misimu miwili akitoke Azam fc.
Dube ambae alikuwa mchezaji muhimu ndani ya kikosi cha yanga na kuvutiwa na makocha wengi hasa kutokana na uchezaji wake kutofautiana na washambuliaji wengi kikosini.



