Dube Aikacha Yanga na Kurejea Kwao Zimbabwe

Abdulrahman Said By Abdulrahman Said β€’ 2nd July 2026


Dube Aikacha Yanga na Kurejea Kwao Zimbabwe

Mshambuliaji raia wa Zimbabwe Price Dube ametambulishwa rasmi katika klabu ya Hardrock ya zimbabwe ikiwa ni siku chache baada ya mshambuliaji huyo kumaliza msimu wa 2025-26 akiwa na miamba ya soka ya Yanga.

Dube anajiunga na miamba hiyo ya nchini kwao baada ya kutamatika kwa mkataba wake na yanga ambayo ameitumikia kwa misimu miwili akitoke Azam fc.

Dube ambae alikuwa mchezaji muhimu ndani ya kikosi cha yanga na kuvutiwa na makocha wengi hasa kutokana na uchezaji wake kutofautiana na washambuliaji wengi kikosini.


  

More Stories

Yanga yapata pigo lingine
Yanga yapata pigo lingine
Today, READ MORE β†’
Dube Aikacha Yanga na Kurejea Kwao Zimbabwe
Dube Aikacha Yanga na Kurejea Kwao Zimbabwe
Today, READ MORE β†’
Mouringo ampeleka Camavinga Man City
Mouringo ampeleka Camavinga Man City
Today, READ MORE β†’
Tonali na Mateus Fernandez watua Spurs
Tonali na Mateus Fernandez watua Spurs
Today, READ MORE β†’
Kichapo dhidi ya Ubelgiji , Kiungo Matata Senegal Atoa Nyongo kwa Benchi lake la Ufundi
Kichapo dhidi ya Ubelgiji , Kiungo Matata Senegal Atoa Nyongo kwa Benchi lake la Ufundi
Today, READ MORE β†’
Ahmed Ally aongeza miaka miwili JKT Tanzania
Ahmed Ally aongeza miaka miwili JKT Tanzania
Today, READ MORE β†’
Simba mbioni kumalizana na kiungo mahiri Stellenbosch
Simba mbioni kumalizana na kiungo mahiri Stellenbosch
Today, READ MORE β†’
Dube aiweka Yanga njia panda
Dube aiweka Yanga njia panda
Today, READ MORE β†’
Ubelgiji wapindua meza kibabe kwa mara nyingine, Wakiwaondoa Senegal WC26
Ubelgiji wapindua meza kibabe kwa mara nyingine, Wakiwaondoa Senegal WC26
Today, READ MORE β†’
England yaiondoa DR Congo kombe la dunia 2026, Harry kane akiendelea kuonyesha makali
England yaiondoa DR Congo kombe la dunia 2026, Harry kane akiendelea kuonyesha makali
Yesterday, READ MORE β†’