Timu ya Taifa ya Hispania imeendelea kuonyesha ubora wake katika Kombe la Dunia 2026 baada ya kuichapa Austria kwa mchezo wa upande mmoja na kutinga hatua ya 16 bora ikiwa na rekodi ya asilimia 100 ya ushindi katika hatua ya makundi. Kikosi cha Luis de la Fuente kilitawala mchezo kuanzia mwanzo hadi mwisho, kikionyesha kiwango cha juu kilichowafanya wengi kukitaja miongoni mwa timu zinazopewa..... download Xtra 90 App



