Algeria imehitimisha safari yake katika Kombe la Dunia 2026 baada ya kupokea kipigo cha mabao 2-0 kutoka kwa Uswisi katika hatua ya 32 bora, mchezo uliopigwa mjini Vancouver.
Matokeo hayo yamekuwa pigo kubwa kwa βThe Desert Warriorsβ, ambao walionekana kuwa na matumaini ya kuendelea zaidi kwenye mashindano haya, lakini makosa ya ulinzi yameigharimu nafasi yao ya kusonga..... download Xtra 90 App



