Simba waifuata Azam kibabe

Abdulrahman Said By Abdulrahman Said β€’ 3rd July 2026


Simba waifuata Azam kibabe

Kikosi Cha wekundu wa msimbazi Simba hii leo kimeondoka jijini Dar es salaam kuelekea visiwani Zanzibar ikiwa ni siku Moja kabla ya mchezo wa fainali dhidi ya Azam fc unaotarajiwa kufanyika mjini Pemba apo kesho.

Simba imeondoka ikiwa na kikosi chake kamili kuelekea mchezo huo utakaochezwa majira ya saa 11 za jioni katika uwanja wa Gombani , ambao utahodhi kwa mara ya kwanza mtanange wa Mzizima derby.

Simba inaelekea mchezo huu ikiwa na hari kubwa itokanayo na kukosa Taji la ligi wikiendi iliyopita mbele ya watani zao Yanga , huku wapinzani wao Azam FC wanaingia kwenye mchezo huu Wakiwa na matumaini pekee ya kutwaa Taji katika msimu wa 2025-26 , kufuatia kukosa mataji yote walioshiriki msimu huu .


  

More Stories

Kinda Fountain Gate mbioni kutua KRC Genk
Kinda Fountain Gate mbioni kutua KRC Genk
Today, READ MORE β†’
Djigui Diarra amaliza msimu akiwa mfalme wa clean sheets
Djigui Diarra amaliza msimu akiwa mfalme wa clean sheets
Today, READ MORE β†’
Azam Fc yamnasa winga hatari Sc Villa
Azam Fc yamnasa winga hatari Sc Villa
Today, READ MORE β†’
Ahmed Ali atamba: Tukitwaa Kombe la CRDB, tutafanya paredi
Ahmed Ali atamba: Tukitwaa Kombe la CRDB, tutafanya paredi
Today, READ MORE β†’
Madrid wavunja ukimya kuhusu tetesi za kumsajili kiungo wa Chelsea, Enzo fernandez.
Madrid wavunja ukimya kuhusu tetesi za kumsajili kiungo wa Chelsea, Enzo fernandez.
Today, READ MORE β†’
Man United waingia kwenye mazungumzo na winga wa West Ham, wakiendelea kupush kwa Baleba pia.
Man United waingia kwenye mazungumzo na winga wa West Ham, wakiendelea kupush kwa Baleba pia.
Today, READ MORE β†’
Simba waifuata Azam kibabe
Simba waifuata Azam kibabe
Today, READ MORE β†’
Mahrez astaafu kutumikia Algeria , Baada ya Taifa ilo Kuondoshwa Kombe la dunia
Mahrez astaafu kutumikia Algeria , Baada ya Taifa ilo Kuondoshwa Kombe la dunia
Today, READ MORE β†’
Ureno yaokoka kwa chupuchupu, yatinga16 bora baada ya kuitoa Croatia 2-1
Ureno yaokoka kwa chupuchupu, yatinga16 bora baada ya kuitoa Croatia 2-1
Today, READ MORE β†’
Algeria yaaga kombe la Dunia, yapigwa 2-0 na Uswisi
Algeria yaaga kombe la Dunia, yapigwa 2-0 na Uswisi
Today, READ MORE β†’