Misri imeandika historia mpya baada ya kuiondoa Australia kwa mikwaju ya penalti na kufuzu hatua ya 16 bora ya Kombe la Dunia 2026. Mchezo huo ulimalizika kwa sare ya 1-1 ndani ya dakika 90 na muda wa nyongeza, kabla ya Mafarao kuonyesha utulivu kwenye mikwaju ya penalti na kufanikisha ushindi wa kihistoria.
Misri ndiyo waliokuwa wa kwanza kupata bao kupitia kwa Emam Ashour dakika ya 13,..... download Xtra 90 App



