Pilato fainali ya Simba na Azam Hadharani

Abdulrahman Said By Abdulrahman Said β€’ 4th July 2026


Pilato fainali ya Simba na Azam Hadharani

Shirikisho la soka nchini TFF limetangaza jopo la waamuzi litakalo simamia mchezo wa fainali ya CRDB FEDERATION CUP unaotarajiwa kupigwa hii leo katika uwanja wa Gombani mjini Pemba.

Kwa mujibu wa taarifa hiyo , Sifu Amon kutoka Mbeya anatarajiwa kuwa mwamuzi wa kati wa mchezo huo akisaidiwa na Hamdani Saidi na Zawadi Yusuph huku Ahmed Arajiga akitangazwa mwamuzi wa akiba wa mchezo.

Mchezo huo unaokutanisha miamba ya Simba na Azam unatarajiwa kutimua vumbi majira ya saa 11 za jioni huku ukusubiriwa kwa hamu kubwa na wadau wengi wa soka nchini .


  

More Stories

Pilato fainali ya Simba na Azam Hadharani
Pilato fainali ya Simba na Azam Hadharani
Today, READ MORE β†’
Barker na Ibenge wakutana kimya, vita uwanjani leo
Barker na Ibenge wakutana kimya, vita uwanjani leo
Today, READ MORE β†’
Cape Verde yafa kiume mbele ya Argentina, yafungwa 3-2
Cape Verde yafa kiume mbele ya Argentina, yafungwa 3-2
Today, READ MORE β†’
Mafarao wafanikiwa kuandika historia kombe la dunia 2026, wakiwatoa nje Australia
Mafarao wafanikiwa kuandika historia kombe la dunia 2026, wakiwatoa nje Australia
Today, READ MORE β†’
Jumba la maajabu laiponza Yanga, yatozwa faini Tsh Milioni 100
Jumba la maajabu laiponza Yanga, yatozwa faini Tsh Milioni 100
Today, READ MORE β†’
Kinda Fountain Gate mbioni kutua KRC Genk
Kinda Fountain Gate mbioni kutua KRC Genk
Today, READ MORE β†’
Djigui Diarra amaliza msimu akiwa mfalme wa clean sheets
Djigui Diarra amaliza msimu akiwa mfalme wa clean sheets
Today, READ MORE β†’
Azam Fc yamnasa winga hatari Sc Villa
Azam Fc yamnasa winga hatari Sc Villa
Today, READ MORE β†’
Ahmed Ali atamba: Tukitwaa Kombe la CRDB, tutafanya paredi
Ahmed Ali atamba: Tukitwaa Kombe la CRDB, tutafanya paredi
Today, READ MORE β†’
Madrid wavunja ukimya kuhusu tetesi za kumsajili kiungo wa Chelsea, Enzo fernandez.
Madrid wavunja ukimya kuhusu tetesi za kumsajili kiungo wa Chelsea, Enzo fernandez.
Today, READ MORE β†’