Simba mabingwa CRDB FEDERATION CUP , Azam wakijinyonga Wenyewe

Abdulrahman Said By Abdulrahman Said β€’ 4th July 2026


Simba mabingwa CRDB FEDERATION CUP , Azam wakijinyonga Wenyewe

Simba Sc ni mabingwa wapya wa CRDB FEDERATION CUP baada ya kuiduiza Azam FC bao kwa Nunge katika mchezo wa fainali uliochezwa uwanja wa Gombani mjini Pemba .

Simba imeshinda ubingwa huo baada ya bao la kujifunga la kiungo Yahya Zaid uliotokana na mpira wa kufa uliochongwa na winga hatari wa Simba Libasaa Gueye.

Mara ya mwisho kwa Simba kutwaa ubingwa wa FA ni msimu wa 2020-21 ambapo ilipata ubingwa huo mbele ya watani zao Yanga , pia huu unakuwa ubingwa wa pili kwa Simba msimu huu 2025-26 baada ya kushinda Taji la Muungano.

Katika mchezo huu pia ulizalisha kadi nyekundu kwa kiungo mshambuliaji wa Azam FC , Feisal Salumu kufuatia kumpiga kwa makusudi winga Libbasa Gueye.


  

More Stories

Morroco wafuzu Robo fainali kombe la dunia 2026, Akiwaondoa wenyeji Canada
Morroco wafuzu Robo fainali kombe la dunia 2026, Akiwaondoa wenyeji Canada
Today, READ MORE β†’
MAGORI : Hizi ndiyo njia zetu , Ligi zikiwa za haki
MAGORI : Hizi ndiyo njia zetu , Ligi zikiwa za haki
Today, READ MORE β†’
Mtazamo wako ni upi kufuatia kadi nyekundu ya Feisal Salumu
Mtazamo wako ni upi kufuatia kadi nyekundu ya Feisal Salumu
Today, READ MORE β†’
Tukutane Kesho Airport , Paredi Ipo : Ahmed Ally
Tukutane Kesho Airport , Paredi Ipo : Ahmed Ally
Today, READ MORE β†’
Simba mabingwa CRDB FEDERATION CUP , Azam wakijinyonga Wenyewe
Simba mabingwa CRDB FEDERATION CUP , Azam wakijinyonga Wenyewe
Today, READ MORE β†’
Pilato fainali ya Simba na Azam Hadharani
Pilato fainali ya Simba na Azam Hadharani
Today, READ MORE β†’
Barker na Ibenge wakutana kimya, vita uwanjani leo
Barker na Ibenge wakutana kimya, vita uwanjani leo
Today, READ MORE β†’
Cape Verde yafa kiume mbele ya Argentina, yafungwa 3-2
Cape Verde yafa kiume mbele ya Argentina, yafungwa 3-2
Today, READ MORE β†’
Mafarao wafanikiwa kuandika historia kombe la dunia 2026, wakiwatoa nje Australia
Mafarao wafanikiwa kuandika historia kombe la dunia 2026, wakiwatoa nje Australia
Today, READ MORE β†’
Jumba la maajabu laiponza Yanga, yatozwa faini Tsh Milioni 100
Jumba la maajabu laiponza Yanga, yatozwa faini Tsh Milioni 100
Yesterday, READ MORE β†’