Tukutane Kesho Airport , Paredi Ipo : Ahmed Ally

Abdulrahman Said By Abdulrahman Said β€’ 4th July 2026


Tukutane Kesho Airport , Paredi Ipo : Ahmed Ally

Afisa habari na msemaji wa Simba Sc Ahmed Ally amewaita wanachama , mashabiki na wadau wa soka wa Timu hiyo apo kesho katika uwanja wa ndege J.K.Nyerere ikiwa ni sehemu ya sherehe za ubingwa wa CRDB FEDERATION CUP.

Ahmed ametoa kauli hiyo baada ya kutamatika kwa mchezo wa fainali ulioshuhudia Simba ikiibuka na ushindi baada kuifunga Azam FC bao Moja kwa sifuri katika mchezo wa fainali.

"Tukutane Kesho wapenzi wa simba saa nne asubuhi pale uwanja wa ndege , kwa ambae anaweza kufika basi tukutane Kesho" amesema Ahmed Ally.


  

More Stories

Morroco wafuzu Robo fainali kombe la dunia 2026, Akiwaondoa wenyeji Canada
Morroco wafuzu Robo fainali kombe la dunia 2026, Akiwaondoa wenyeji Canada
Today, READ MORE β†’
MAGORI : Hizi ndiyo njia zetu , Ligi zikiwa za haki
MAGORI : Hizi ndiyo njia zetu , Ligi zikiwa za haki
Today, READ MORE β†’
Mtazamo wako ni upi kufuatia kadi nyekundu ya Feisal Salumu
Mtazamo wako ni upi kufuatia kadi nyekundu ya Feisal Salumu
Today, READ MORE β†’
Tukutane Kesho Airport , Paredi Ipo : Ahmed Ally
Tukutane Kesho Airport , Paredi Ipo : Ahmed Ally
Today, READ MORE β†’
Simba mabingwa CRDB FEDERATION CUP , Azam wakijinyonga Wenyewe
Simba mabingwa CRDB FEDERATION CUP , Azam wakijinyonga Wenyewe
Today, READ MORE β†’
Pilato fainali ya Simba na Azam Hadharani
Pilato fainali ya Simba na Azam Hadharani
Today, READ MORE β†’
Barker na Ibenge wakutana kimya, vita uwanjani leo
Barker na Ibenge wakutana kimya, vita uwanjani leo
Today, READ MORE β†’
Cape Verde yafa kiume mbele ya Argentina, yafungwa 3-2
Cape Verde yafa kiume mbele ya Argentina, yafungwa 3-2
Today, READ MORE β†’
Mafarao wafanikiwa kuandika historia kombe la dunia 2026, wakiwatoa nje Australia
Mafarao wafanikiwa kuandika historia kombe la dunia 2026, wakiwatoa nje Australia
Yesterday, READ MORE β†’
Jumba la maajabu laiponza Yanga, yatozwa faini Tsh Milioni 100
Jumba la maajabu laiponza Yanga, yatozwa faini Tsh Milioni 100
Yesterday, READ MORE β†’