Timu ya Taifa ya Ufaransa imefanikiwa kutinga hatua ya robo fainali ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi mwembamba wa bao 1-0 dhidi ya Paraguay katika mchezo uliokuwa na ushindani mkubwa na uliowalazimu Les Bleus kupambana hadi dakika za mwisho kutafuta ushindi.
Paraguay waliingia uwanjani wakiwa na nidhamu kubwa ya kujilinda na kuwapa wakati mgumu washambuliaji wa Ufaransa...... download Xtra 90 App



