Rais wa Yanga SC, Injinia Hersi Said, ameweka wazi msisitizo wake kuhusu utekelezaji wa mradi mkubwa wa ujenzi wa uwanja wa klabu hiyo, akisema maandalizi yako katika hatua za mwisho na ujenzi utaanza hivi karibuni.
Hersi alisema moja ya ahadi kubwa iliyosalia kwa uongozi wake ni kuhakikisha ujenzi wa uwanja wa kisasa wa Yanga katika eneo la Twiga na Jangwani, jijini Dar es Salaam,..... download Xtra 90 App



