Eneo la Jangwani, Dar es Salaam jijini Dar es Salaam liligeuka kuwa jukwaa la burudani na shamrashamra kubwa baada ya Simba SC kufanya maandamano ya kusherehekea ubingwa wa Kombe la Shirikisho la CRDB, katika tukio lililovuta hisia za maelfu ya mashabiki waliomiminika kushuhudia historia hiyo.
Msafara wa mabingwa hao uliwasili eneo hilo majira ya saa 8:40 mchana, ukiwa umeongozwa na..... download Xtra 90 App



